728x90 AdSpace

Latest News

Monday, September 22, 2014

UVCCM KATA YA NGUVUMALI WAMSIMIKA KAMANDA MPYA

Kamanda wa Kata ya Nguvumali Mr. Bernard Goliama akiapishwa RASMI kubwa Kamanda wa kata Ya Nguvumali Tanga. Lilikuwa tukio la kipekee sana katika Kata. Tunawashukuru sana vijana wa Nguvumali kwa Imani na Mimi. Nitajitahidi kwa uwezo wangu wote kuunganisha vijana((UVCCM) na vijana wengine). Tukio hili Lilifanishwa na Viongozi wa Juu wa CCM Wilaya na Wazee wa Nguvumali na Kunisimika RASMI. ASANTENI SANA.







  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: UVCCM KATA YA NGUVUMALI WAMSIMIKA KAMANDA MPYA Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top