728x90 AdSpace

Latest News

Wednesday, October 1, 2014

Mhe. Membe Aahidi Kuendeleza Diplomasia ya Michezo

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (Mb.) akizungumza na wanamichezo walioshiriki michezo ya jumuiya ya madola Glasgow, Scotland mwezi wa nane, alipo kutana nao katika kituo cha michezo cha Filbert Bayi kilichopo Kibaha.


Wanamichezo wakimsikiliza kwa makini Waziri Membe (Hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao.

                     Viongozi mbalimbali wa vyama vya michezo wakifuatilia mazungumzo                     
Wakwanza Kushoto ni Kaimu Mkuu wa Kitengo Bw. Ally Mkumbwa, na wapili kutoka kushoto ni Afisa Mambo ya Nje Bw. Imani Njalikai wakifuatilia wazungumzo ya mhe. Waziri kwa makini. 
                                      Kikao kikiendele
  
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (Mb.) akisaini kwenye kitabu cha wageni alipo wasili katika kituo cha Filbert Bayi kilichopo Kibaha. 
Katikati ni Mama Bayi akielezea jambo kwa waziri Membe (wa kwanza kulia)  mara baada ya kusaini kitabu cha wageni, wakwanza kulia ni Bw. Filbert Bayi naye akisikiliza.
Bw. Filbert Bayi akimwonyesha na kumwelezea Waziri Membe Ramani ya eneo hilo lililo na Shule ya awali, msingi, Sekondari na kituo cha michezo.
Waziri Membe akizungumza alipokuwa akitembelea kiwanja cha mpira wa miguu (hakipo pichani) kilichopo katika eneo hilo, kiwanja hicho cha mpira ni moja kati ya viwanja vinavyotumiwa na wanamichezo waliopo katika kituo hicho cha Filbert Bayi.
Kiwanja cha mpira wa miguu kilichopo katika kituo cha michezo cha Filbert Bayi kilichopo Kibaha.
Waziri Bernard Membe akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa vyama vya michezo mbalimbali nchini, mara baada ya kumaliza mazungumzo na wanamichezo.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: Mhe. Membe Aahidi Kuendeleza Diplomasia ya Michezo Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top